<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0" xmlns:podcast="https://podcastindex.org/namespace/1.0"
    xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
    xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
    xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
    xmlns:itunes="http://www.itunes.com/dtds/podcast-1.0.dtd" xmlns:spotify="http://www.spotify.com/ns/rss">
    <channel>
        <title>JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]</title>
        <generator>Castos</generator>
        <atom:link href="https://feeds.castos.com/9rz0x" rel="self" type="application/rss+xml" />
        <link>https://www.bjnewlife.org/en/book/bookDetail.php?bidx=855&amp;part=1</link>
        <description>Somo kuu la kichwa hiki ni &quot;kuzaliwa mara ya pili kwa Maji na Roho.&quot; Kina upekee kwenye mada hii. Kwa maneno mengine, kitabu hiki kinaeleza waziwazi maana ya kuzaliwa mara ya pili na jinsi ya kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho kwa mujibu wa Biblia. Maji yanaashiria ubatizo wa Yesu katika Mto Yordani na Biblia inaeleza kuwa dhambi zetu zote zilipitishwa kwenda kwa Yesu wakati alipobatizwa na Yohana Mbatizaji. Yohana Mbatizaji alikuwa mwakilishi wa wanadamu wote na mzao wa Haruni, Kuhani Mkuu. Haruni aliweka mikono yake juu ya kichwa cha mbuzi wa Azazeli na kupitisha dhambi zote za mwaka za Waisraeli kwake katika Siku ya Upatanisho. Hii ilikuwa kivuli cha mambo mema yajayo. Ubatizo wa Yesu ni mfano wa kuweka mikono.
Yesu alibatizwa kwa njia ya kuwekwa mikono katika Yordani. Hivyo Yesu alizichukulia mbali dhambi zote za ulimwengu kupitia ubatizo Wake na akasulubiwa ili kulipa kwa ajili ya dhambi hizo. Lakini Wakristo wengi hawajui ni kwa nini Yesu alibatizwa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ubatizo wa Yesu ndio neno kuu la kitabu hiki na sehemu muhimu sana ya Injili ya Maji na Roho. Tunaweza kuzaliwa mara ya pili kwa kuamini tu ubatizo wa Yesu na Msalaba Wake.</description>
        <lastBuildDate>Mon, 06 Oct 2025 01:08:07 +0000</lastBuildDate>
        <language>sw</language>
        <copyright>© 2004 by Hephzibah Publishing House</copyright>
        
        <spotify:limit recentCount="12" />
        
        <spotify:countryOfOrigin>
              
        </spotify:countryOfOrigin>
                    <image>
                <url>https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/images/podcast/covers/c1a-8mp7r-25d7xdndf7v7-uj9zfz.jpg</url>
                <title>JE, UMEZALIWA UPYA KWELI KWA MAJI NA KWA ROHO? [Toleo Jipya Lililorekebishwa]</title>
                <link>https://www.bjnewlife.org/en/book/bookDetail.php?bidx=855&amp;part=1</link>
            </image>
                <itunes:subtitle>Somo kuu la kichwa hiki ni &quot;kuzaliwa mara ya pili kwa Maji na Roho.&quot; Kina upekee kwenye mada hii. Kwa maneno mengine, kitabu hiki kinaeleza waziwazi maana ya kuzaliwa mara ya pili na jinsi ya kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho kwa mujibu wa Biblia. Maji yanaashiria ubatizo wa Yesu katika Mto Yordani na Biblia inaeleza kuwa dhambi zetu zote zilipitishwa kwenda kwa Yesu wakati alipobatizwa na Yohana Mbatizaji. Yohana Mbatizaji alikuwa mwakilishi wa wanadamu wote na mzao wa Haruni, Kuhani Mkuu. Haruni aliweka mikono yake juu ya kichwa cha mbuzi wa Azazeli na kupitisha dhambi zote za mwaka za Waisraeli kwake katika Siku ya Upatanisho. Hii ilikuwa kivuli cha mambo mema yajayo. Ubatizo wa Yesu ni mfano wa kuweka mikono.
Yesu alibatizwa kwa njia ya kuwekwa mikono katika Yordani. Hivyo Yesu alizichukulia mbali dhambi zote za ulimwengu kupitia ubatizo Wake na akasulubiwa ili kulipa kwa ajili ya dhambi hizo. Lakini Wakristo wengi hawajui ni kwa nini Yesu alibatizwa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ubatizo wa Yesu ndio neno kuu la kitabu hiki na sehemu muhimu sana ya Injili ya Maji na Roho. Tunaweza kuzaliwa mara ya pili kwa kuamini tu ubatizo wa Yesu na Msalaba Wake.</itunes:subtitle>
        <itunes:author>The New Life Mission</itunes:author>
        <itunes:type>episodic</itunes:type>
        <itunes:summary>Somo kuu la kichwa hiki ni &quot;kuzaliwa mara ya pili kwa Maji na Roho.&quot; Kina upekee kwenye mada hii. Kwa maneno mengine, kitabu hiki kinaeleza waziwazi maana ya kuzaliwa mara ya pili na jinsi ya kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho kwa mujibu wa Biblia. Maji yanaashiria ubatizo wa Yesu katika Mto Yordani na Biblia inaeleza kuwa dhambi zetu zote zilipitishwa kwenda kwa Yesu wakati alipobatizwa na Yohana Mbatizaji. Yohana Mbatizaji alikuwa mwakilishi wa wanadamu wote na mzao wa Haruni, Kuhani Mkuu. Haruni aliweka mikono yake juu ya kichwa cha mbuzi wa Azazeli na kupitisha dhambi zote za mwaka za Waisraeli kwake katika Siku ya Upatanisho. Hii ilikuwa kivuli cha mambo mema yajayo. Ubatizo wa Yesu ni mfano wa kuweka mikono.
Yesu alibatizwa kwa njia ya kuwekwa mikono katika Yordani. Hivyo Yesu alizichukulia mbali dhambi zote za ulimwengu kupitia ubatizo Wake na akasulubiwa ili kulipa kwa ajili ya dhambi hizo. Lakini Wakristo wengi hawajui ni kwa nini Yesu alibatizwa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ubatizo wa Yesu ndio neno kuu la kitabu hiki na sehemu muhimu sana ya Injili ya Maji na Roho. Tunaweza kuzaliwa mara ya pili kwa kuamini tu ubatizo wa Yesu na Msalaba Wake.</itunes:summary>
        <itunes:owner>
            <itunes:name>The New Life Mission</itunes:name>
            <itunes:email>shin2954@naver.com</itunes:email>
        </itunes:owner>
        <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                    <itunes:image href="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/images/podcast/covers/c1a-8mp7r-25d7xdndf7v7-uj9zfz.jpg"></itunes:image>
        
                                    <itunes:category text="Religion &amp; Spirituality">
                                            <itunes:category text="Christianity" />
                                    </itunes:category>
                    
                    <itunes:new-feed-url>https://feeds.castos.com/9rz0x</itunes:new-feed-url>
                
        
        <podcast:locked>yes</podcast:locked>
                                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[Dibaji]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 01:08:07 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158657</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/dibaji</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Inatupasa kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho</p>
<p>Mungu(God), hapo mwanzo alipoumba mbingu na nchi, Yeye pia aliumba ulimwengu wa milele, mbingu na jehanamu. Yeye pia aliumba mwanadamu kwa mfano Wake Mwenyewe. Hata hivyo, kwa kuwa mwanadamu wa kwanza, Adamu, alitenda dhambi mbele za Mungu(God), watu wote imewapasa kufa mara moja. “Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).<br />Kifo cha miili yetu ndiyo njia ya kupita kwenda kwenye uzima wa milele. Wale wasio na dhambi wataingia katika ulimwengu wa milele wa mbingu na kufurahia milele furaha ya kuwa mtoto wa Mungu(God), ilhali wenye dhambi watatupwa katika “ziwa la moto na kiberiti” (Ufunuo 20:10) na watateswa mchana na usiku milele na milele.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Inatupasa kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho
Mungu(God), hapo mwanzo alipoumba mbingu na nchi, Yeye pia aliumba ulimwengu wa milele, mbingu na jehanamu. Yeye pia aliumba mwanadamu kwa mfano Wake Mwenyewe. Hata hivyo, kwa kuwa mwanadamu wa kwanza, Adamu, alitenda dhambi mbele za Mungu(God), watu wote imewapasa kufa mara moja. “Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).Kifo cha miili yetu ndiyo njia ya kupita kwenda kwenye uzima wa milele. Wale wasio na dhambi wataingia katika ulimwengu wa milele wa mbingu na kufurahia milele furaha ya kuwa mtoto wa Mungu(God), ilhali wenye dhambi watatupwa katika “ziwa la moto na kiberiti” (Ufunuo 20:10) na watateswa mchana na usiku milele na milele.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[Dibaji]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>1</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Inatupasa kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho</p>
<p>Mungu(God), hapo mwanzo alipoumba mbingu na nchi, Yeye pia aliumba ulimwengu wa milele, mbingu na jehanamu. Yeye pia aliumba mwanadamu kwa mfano Wake Mwenyewe. Hata hivyo, kwa kuwa mwanadamu wa kwanza, Adamu, alitenda dhambi mbele za Mungu(God), watu wote imewapasa kufa mara moja. “Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).<br />Kifo cha miili yetu ndiyo njia ya kupita kwenda kwenye uzima wa milele. Wale wasio na dhambi wataingia katika ulimwengu wa milele wa mbingu na kufurahia milele furaha ya kuwa mtoto wa Mungu(God), ilhali wenye dhambi watatupwa katika “ziwa la moto na kiberiti” (Ufunuo 20:10) na watateswa mchana na usiku milele na milele.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158657/c1e-mq234iq83pkfw0xn3-5zo5vkv1sgr-t6aeq3.mp3" length="15175139"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Inatupasa kuzaliwa mara ya pili kwa maji na Roho
Mungu(God), hapo mwanzo alipoumba mbingu na nchi, Yeye pia aliumba ulimwengu wa milele, mbingu na jehanamu. Yeye pia aliumba mwanadamu kwa mfano Wake Mwenyewe. Hata hivyo, kwa kuwa mwanadamu wa kwanza, Adamu, alitenda dhambi mbele za Mungu(God), watu wote imewapasa kufa mara moja. “Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu” (Waebrania 9:27).Kifo cha miili yetu ndiyo njia ya kupita kwenda kwenye uzima wa milele. Wale wasio na dhambi wataingia katika ulimwengu wa milele wa mbingu na kufurahia milele furaha ya kuwa mtoto wa Mungu(God), ilhali wenye dhambi watatupwa katika “ziwa la moto na kiberiti” (Ufunuo 20:10) na watateswa mchana na usiku milele na milele.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:15:47</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 01:00:18 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158651</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/1-lazima-kwanza-tujue-dhambi-zetu-ili-tukombolewe-marko-78-9-marko-720-23</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya ‘kukosa shabaha.’ Linamaanisha kutopata sawa. Ni dhambi tusipoyafuata amri za Mungu(God) kwa usahihi. Hebu kwanza tuangalie dhambi kama zilivyofafanuliwa na wanadamu.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya ‘kukosa shabaha.’ Linamaanisha kutopata sawa. Ni dhambi tusipoyafuata amri za Mungu(God) kwa usahihi. Hebu kwanza tuangalie dhambi kama zilivyofafanuliwa na wanadamu.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[1. Lazima Kwanza Tujue Dhambi Zetu ili Tukombolewe (Marko 7:8-9, Marko 7:20-23)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>2</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya ‘kukosa shabaha.’ Linamaanisha kutopata sawa. Ni dhambi tusipoyafuata amri za Mungu(God) kwa usahihi. Hebu kwanza tuangalie dhambi kama zilivyofafanuliwa na wanadamu.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158651/c1e-7nw53c9726pad6vm6-0vprmd66b870-tqkqxo.mp3" length="28618029"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Kwanza, ningependa kufafanua dhambi ni nini. Kuna dhambi zilizofafanuliwa na Mungu(God), na kuna dhambi zilizofafanuliwa na wanadamu. Neno dhambi, kwa Kigiriki, lina maana ya ‘kukosa shabaha.’ Linamaanisha kutopata sawa. Ni dhambi tusipoyafuata amri za Mungu(God) kwa usahihi. Hebu kwanza tuangalie dhambi kama zilivyofafanuliwa na wanadamu.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:29:48</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:57:29 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158647</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/2-binadamu-huzaliwa-wakiwa-wenye-dhambi-marko-720-23</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?<br />Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu wao wenyewe. Huenda wewe si mbaya sana kama unavyofikiri, wala si mzuri sana kama unavyofikiri.<br />Basi, unadhani ni nani ataishi maisha bora ya imani? Je, ni wale wanaojiona kuwa wazuri, au wale wanaojiona kuwa wabaya?<br />Ni wale wa pili. Kwa hiyo, ni nani aliye na uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa: waliotenda dhambi nyingi au waliotenda dhambi chache tu? Wenye dhambi nyingi wana uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa, kwa sababu wanajijua kuwa wenye dhambi. Wanaweza kukubali vyema zaidi ukombozi ambao Yesu aliwaandalia.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu wao wenyewe. Huenda wewe si mbaya sana kama unavyofikiri, wala si mzuri sana kama unavyofikiri.Basi, unadhani ni nani ataishi maisha bora ya imani? Je, ni wale wanaojiona kuwa wazuri, au wale wanaojiona kuwa wabaya?Ni wale wa pili. Kwa hiyo, ni nani aliye na uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa: waliotenda dhambi nyingi au waliotenda dhambi chache tu? Wenye dhambi nyingi wana uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa, kwa sababu wanajijua kuwa wenye dhambi. Wanaweza kukubali vyema zaidi ukombozi ambao Yesu aliwaandalia.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[2. Binadamu huzaliwa wakiwa wenye dhambi (Marko 7:20-23)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>3</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?<br />Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu wao wenyewe. Huenda wewe si mbaya sana kama unavyofikiri, wala si mzuri sana kama unavyofikiri.<br />Basi, unadhani ni nani ataishi maisha bora ya imani? Je, ni wale wanaojiona kuwa wazuri, au wale wanaojiona kuwa wabaya?<br />Ni wale wa pili. Kwa hiyo, ni nani aliye na uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa: waliotenda dhambi nyingi au waliotenda dhambi chache tu? Wenye dhambi nyingi wana uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa, kwa sababu wanajijua kuwa wenye dhambi. Wanaweza kukubali vyema zaidi ukombozi ambao Yesu aliwaandalia.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158647/c1e-8mp7raonq22b1d8md-9jq4k5n1h3q7-mpr0s3.mp3" length="19992237"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Kabla sijaendelea, ningependa kukuuliza swali. Unajifikiriaje wewe mwenyewe? Je, unadhani wewe ni mzuri kiasi au mbaya kiasi? Unafikiri nini?Watu wote wanaishi chini ya udanganyifu wao wenyewe. Huenda wewe si mbaya sana kama unavyofikiri, wala si mzuri sana kama unavyofikiri.Basi, unadhani ni nani ataishi maisha bora ya imani? Je, ni wale wanaojiona kuwa wazuri, au wale wanaojiona kuwa wabaya?Ni wale wa pili. Kwa hiyo, ni nani aliye na uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa: waliotenda dhambi nyingi au waliotenda dhambi chache tu? Wenye dhambi nyingi wana uwezekano mkubwa zaidi wa kukombolewa, kwa sababu wanajijua kuwa wenye dhambi. Wanaweza kukubali vyema zaidi ukombozi ambao Yesu aliwaandalia.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:20:49</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[3. Tukifanya mambo kwa mujibu wa Torati, je, inaweza kutuokoa? (Luka 10:25-30)]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:56:19 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158643</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/3-tukifanya-mambo-kwa-mujibu-wa-torati-je-inaweza-kutuokoa-luka-1025-30</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”<br />Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa kirahisi na hubaki wasiotambua upande wao wa uovu. Tumezaliwa bila kujijua, lakini bado tunaishi kana kwamba tunajijua. Kwa sababu watu hawajijui, Biblia hutuambia kwamba sisi ni wenye dhambi.<br />Watu huzungumza juu ya kuwapo kwa dhambi zao wenyewe. Nao hawawezi kutenda mema, lakini hujipendelea kujieleza kuwa wema. Wanataka kujisifu kwa matendo yao mema na kujionyesha. Husema kwamba wao ni wenye dhambi, lakini hutenda kana kwamba ni wema sana.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa kirahisi na hubaki wasiotambua upande wao wa uovu. Tumezaliwa bila kujijua, lakini bado tunaishi kana kwamba tunajijua. Kwa sababu watu hawajijui, Biblia hutuambia kwamba sisi ni wenye dhambi.Watu huzungumza juu ya kuwapo kwa dhambi zao wenyewe. Nao hawawezi kutenda mema, lakini hujipendelea kujieleza kuwa wema. Wanataka kujisifu kwa matendo yao mema na kujionyesha. Husema kwamba wao ni wenye dhambi, lakini hutenda kana kwamba ni wema sana.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[3. Tukifanya mambo kwa mujibu wa Torati, je, inaweza kutuokoa? (Luka 10:25-30)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>4</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”<br />Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa kirahisi na hubaki wasiotambua upande wao wa uovu. Tumezaliwa bila kujijua, lakini bado tunaishi kana kwamba tunajijua. Kwa sababu watu hawajijui, Biblia hutuambia kwamba sisi ni wenye dhambi.<br />Watu huzungumza juu ya kuwapo kwa dhambi zao wenyewe. Nao hawawezi kutenda mema, lakini hujipendelea kujieleza kuwa wema. Wanataka kujisifu kwa matendo yao mema na kujionyesha. Husema kwamba wao ni wenye dhambi, lakini hutenda kana kwamba ni wema sana.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158643/c1e-mq234iq83mjbwqk8q-qdojzjnqfdrr-we4ckc.mp3" length="39790893"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa kirahisi na hubaki wasiotambua upande wao wa uovu. Tumezaliwa bila kujijua, lakini bado tunaishi kana kwamba tunajijua. Kwa sababu watu hawajijui, Biblia hutuambia kwamba sisi ni wenye dhambi.Watu huzungumza juu ya kuwapo kwa dhambi zao wenyewe. Nao hawawezi kutenda mema, lakini hujipendelea kujieleza kuwa wema. Wanataka kujisifu kwa matendo yao mema na kujionyesha. Husema kwamba wao ni wenye dhambi, lakini hutenda kana kwamba ni wema sana.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:41:26</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:55:05 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158642</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/4-ukombozi-wa-milele-yohana-81-12</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa kuna mwenye dhambi anayehangaika kutokana na dhambi zake, ni kwa sababu hajaelewa jinsi Yesu alivyowatoa kutoka kwa dhambi zote kwa kupitia ubatizo Wake.<br />Sote tunapaswa kufahamu na kuamini siri ya wokovu. Yesu alichukua dhambi zetu zote kwa ubatizo Wake na amebeba hukumu kwa dhambi zetu kwa kufa msalabani.<br />Unapaswa kuamini wokovu wa maji na wa Roho; ukombozi wa milele kutoka kwa dhambi zote. Unapaswa kuamini upendo Wake mkubwa ambao tayari umekufanya kuwa mtu mwenye haki. Amini kile alichofanya kwa ajili ya wokovu wako katika Mto Yordani na msalabani.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa kuna mwenye dhambi anayehangaika kutokana na dhambi zake, ni kwa sababu hajaelewa jinsi Yesu alivyowatoa kutoka kwa dhambi zote kwa kupitia ubatizo Wake.Sote tunapaswa kufahamu na kuamini siri ya wokovu. Yesu alichukua dhambi zetu zote kwa ubatizo Wake na amebeba hukumu kwa dhambi zetu kwa kufa msalabani.Unapaswa kuamini wokovu wa maji na wa Roho; ukombozi wa milele kutoka kwa dhambi zote. Unapaswa kuamini upendo Wake mkubwa ambao tayari umekufanya kuwa mtu mwenye haki. Amini kile alichofanya kwa ajili ya wokovu wako katika Mto Yordani na msalabani.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>5</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa kuna mwenye dhambi anayehangaika kutokana na dhambi zake, ni kwa sababu hajaelewa jinsi Yesu alivyowatoa kutoka kwa dhambi zote kwa kupitia ubatizo Wake.<br />Sote tunapaswa kufahamu na kuamini siri ya wokovu. Yesu alichukua dhambi zetu zote kwa ubatizo Wake na amebeba hukumu kwa dhambi zetu kwa kufa msalabani.<br />Unapaswa kuamini wokovu wa maji na wa Roho; ukombozi wa milele kutoka kwa dhambi zote. Unapaswa kuamini upendo Wake mkubwa ambao tayari umekufanya kuwa mtu mwenye haki. Amini kile alichofanya kwa ajili ya wokovu wako katika Mto Yordani na msalabani.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158642/c1e-nj59nudq1goa9z4kz-5zo5p562bxp6-ik34x2.mp3" length="57281709"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa kuna mwenye dhambi anayehangaika kutokana na dhambi zake, ni kwa sababu hajaelewa jinsi Yesu alivyowatoa kutoka kwa dhambi zote kwa kupitia ubatizo Wake.Sote tunapaswa kufahamu na kuamini siri ya wokovu. Yesu alichukua dhambi zetu zote kwa ubatizo Wake na amebeba hukumu kwa dhambi zetu kwa kufa msalabani.Unapaswa kuamini wokovu wa maji na wa Roho; ukombozi wa milele kutoka kwa dhambi zote. Unapaswa kuamini upendo Wake mkubwa ambao tayari umekufanya kuwa mtu mwenye haki. Amini kile alichofanya kwa ajili ya wokovu wako katika Mto Yordani na msalabani.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:59:40</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:54:09 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158641</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/5-ubatizo-wa-yesu-na-upatanisho-wa-dhambi-mathayo-313-17</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote. Je, yupo yeyote ambaye bado anateseka kutokana na dhambi? <br />Inatupasa kuelewa kwamba vita vyetu dhidi ya dhambi vimekwisha. Hatutateseka tena kamwe kutokana na dhambi. Utumwa wetu wa dhambi ulikoma Yesu alipotukomboa; dhambi zote zilikoma hapo hapo. Dhambi zetu zote zimefanyiwa upatanisho na Mwana Wake. Mungu(God) alilipia dhambi zetu zote kupitia Yesu, ambaye alituweka huru, milele. <br />Je, unajua jinsi watu wanavyoteseka kutokana na dhambi zao? Ilianza tangu wakati wa Adamu na Hawa. Wanadamu wanateseka kutokana na dhambi walizorithi kutoka kwa Adamu.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote. Je, yupo yeyote ambaye bado anateseka kutokana na dhambi? Inatupasa kuelewa kwamba vita vyetu dhidi ya dhambi vimekwisha. Hatutateseka tena kamwe kutokana na dhambi. Utumwa wetu wa dhambi ulikoma Yesu alipotukomboa; dhambi zote zilikoma hapo hapo. Dhambi zetu zote zimefanyiwa upatanisho na Mwana Wake. Mungu(God) alilipia dhambi zetu zote kupitia Yesu, ambaye alituweka huru, milele. Je, unajua jinsi watu wanavyoteseka kutokana na dhambi zao? Ilianza tangu wakati wa Adamu na Hawa. Wanadamu wanateseka kutokana na dhambi walizorithi kutoka kwa Adamu.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>6</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote. Je, yupo yeyote ambaye bado anateseka kutokana na dhambi? <br />Inatupasa kuelewa kwamba vita vyetu dhidi ya dhambi vimekwisha. Hatutateseka tena kamwe kutokana na dhambi. Utumwa wetu wa dhambi ulikoma Yesu alipotukomboa; dhambi zote zilikoma hapo hapo. Dhambi zetu zote zimefanyiwa upatanisho na Mwana Wake. Mungu(God) alilipia dhambi zetu zote kupitia Yesu, ambaye alituweka huru, milele. <br />Je, unajua jinsi watu wanavyoteseka kutokana na dhambi zao? Ilianza tangu wakati wa Adamu na Hawa. Wanadamu wanateseka kutokana na dhambi walizorithi kutoka kwa Adamu.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158641/c1e-04qmkskzo6qigm3wm-254gzgrmhn63-6t0lzd.mp3" length="94942893"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote. Je, yupo yeyote ambaye bado anateseka kutokana na dhambi? Inatupasa kuelewa kwamba vita vyetu dhidi ya dhambi vimekwisha. Hatutateseka tena kamwe kutokana na dhambi. Utumwa wetu wa dhambi ulikoma Yesu alipotukomboa; dhambi zote zilikoma hapo hapo. Dhambi zetu zote zimefanyiwa upatanisho na Mwana Wake. Mungu(God) alilipia dhambi zetu zote kupitia Yesu, ambaye alituweka huru, milele. Je, unajua jinsi watu wanavyoteseka kutokana na dhambi zao? Ilianza tangu wakati wa Adamu na Hawa. Wanadamu wanateseka kutokana na dhambi walizorithi kutoka kwa Adamu.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:38:53</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:52:39 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158640</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/6-yesu-kristo-alikuja-kwa-maji-kwa-damu-na-kwa-roho-1-yohana-51-12</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa ubatizo wa ukombozi ambao kupitia huo aliondoa dhambi zote za ulimwengu.<br />Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo, alikuja. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na akabatizwa ili kuondoa dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kumwaga damu juu ya msalaba. Yesu alikuja kwa damu.<br />Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo, alikuja. Yesu alikuwa Mungu(God), lakini Yeye alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa ubatizo wa ukombozi ambao kupitia huo aliondoa dhambi zote za ulimwengu.Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo, alikuja. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na akabatizwa ili kuondoa dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kumwaga damu juu ya msalaba. Yesu alikuja kwa damu.Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo, alikuja. Yesu alikuwa Mungu(God), lakini Yeye alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>7</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa ubatizo wa ukombozi ambao kupitia huo aliondoa dhambi zote za ulimwengu.<br />Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo, alikuja. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na akabatizwa ili kuondoa dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kumwaga damu juu ya msalaba. Yesu alikuja kwa damu.<br />Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo, alikuja. Yesu alikuwa Mungu(God), lakini Yeye alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158640/c1e-ro5m4hwqmvdb2kwpk-rk3w8wqpawn9-28xtoa.mp3" length="62446509"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa ubatizo wa ukombozi ambao kupitia huo aliondoa dhambi zote za ulimwengu.Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo, alikuja. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na akabatizwa ili kuondoa dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kumwaga damu juu ya msalaba. Yesu alikuja kwa damu.Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo, alikuja. Yesu alikuwa Mungu(God), lakini Yeye alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:05:02</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro­3:20-22)]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:51:41 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158639</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/7-ubatizo-wa-yesu-ni-uhalisia-wa-wokovu-kwa-wenye-dhambi-1-petro320-22</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo Wake, ulioondoa dhambi zote za ulimwengu. Aliwaokoa waumini wote na kuwafanya wote kuwa watu Wake.<br />Haya yote ni matokeo ya neema ya Mungu(God). Kama isemavyo katika Zaburi 8:4, “Mtu ni nani hata Umkumbuke.” Wale waliookolewa kutoka kwa dhambi zote ndio wapokeaji wa upendo Wake wa kipekee. Wao ni watoto Wake.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo Wake, ulioondoa dhambi zote za ulimwengu. Aliwaokoa waumini wote na kuwafanya wote kuwa watu Wake.Haya yote ni matokeo ya neema ya Mungu(God). Kama isemavyo katika Zaburi 8:4, “Mtu ni nani hata Umkumbuke.” Wale waliookolewa kutoka kwa dhambi zote ndio wapokeaji wa upendo Wake wa kipekee. Wao ni watoto Wake.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[7. Ubatizo wa Yesu ni Uhalisia wa Wokovu kwa Wenye Dhambi (1 Petro­3:20-22)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>8</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo Wake, ulioondoa dhambi zote za ulimwengu. Aliwaokoa waumini wote na kuwafanya wote kuwa watu Wake.<br />Haya yote ni matokeo ya neema ya Mungu(God). Kama isemavyo katika Zaburi 8:4, “Mtu ni nani hata Umkumbuke.” Wale waliookolewa kutoka kwa dhambi zote ndio wapokeaji wa upendo Wake wa kipekee. Wao ni watoto Wake.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158639/c1e-92pkrbdmq52fdv6pv-jp3090v1i5-ndrohm.mp3" length="31486509"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Tulizaliwa duniani humu, lakini kabla ya hapo Mungu(God) alikuwa tayari anatujua. Alijua kwamba tungezalika tukiwa wenye dhambi na akatuokoa sisi sote waumini kupitia ubatizo Wake, ulioondoa dhambi zote za ulimwengu. Aliwaokoa waumini wote na kuwafanya wote kuwa watu Wake.Haya yote ni matokeo ya neema ya Mungu(God). Kama isemavyo katika Zaburi 8:4, “Mtu ni nani hata Umkumbuke.” Wale waliookolewa kutoka kwa dhambi zote ndio wapokeaji wa upendo Wake wa kipekee. Wao ni watoto Wake.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:32:47</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:49:48 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158638</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/8-injili-ya-upatanisho-tele</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Kwa nini Yesu alimwosha Petro miguu siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka ya Wayahudi? Alipokuwa akimwosha miguu yake, Yesu alisema, “Wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.” Simoni Petro alikuwa mwanafunzi bora zaidi wa Yesu. Aliamini kwamba Yesu alikuwa Mwana wa Mungu(God) na akashuhudia kwamba Yesu ndiye Kristo. Na Yesu alipokuwa akimwosha miguu yake, hakika kulikuwa na sababu ya Yeye kufanya hivyo. Petro alipokiri imani yake kwamba Yesu ndiye Kristo, ilimaanisha kwamba aliamini Yesu kuwa Mwokozi ambaye angemwokoa kutoka katika dhambi zake zote.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Kwa nini Yesu alimwosha Petro miguu siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka ya Wayahudi? Alipokuwa akimwosha miguu yake, Yesu alisema, “Wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.” Simoni Petro alikuwa mwanafunzi bora zaidi wa Yesu. Aliamini kwamba Yesu alikuwa Mwana wa Mungu(God) na akashuhudia kwamba Yesu ndiye Kristo. Na Yesu alipokuwa akimwosha miguu yake, hakika kulikuwa na sababu ya Yeye kufanya hivyo. Petro alipokiri imani yake kwamba Yesu ndiye Kristo, ilimaanisha kwamba aliamini Yesu kuwa Mwokozi ambaye angemwokoa kutoka katika dhambi zake zote.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[8. Injili ya Upatanisho Tele (Yohana 13:1-17)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>9</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Kwa nini Yesu alimwosha Petro miguu siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka ya Wayahudi? Alipokuwa akimwosha miguu yake, Yesu alisema, “Wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.” Simoni Petro alikuwa mwanafunzi bora zaidi wa Yesu. Aliamini kwamba Yesu alikuwa Mwana wa Mungu(God) na akashuhudia kwamba Yesu ndiye Kristo. Na Yesu alipokuwa akimwosha miguu yake, hakika kulikuwa na sababu ya Yeye kufanya hivyo. Petro alipokiri imani yake kwamba Yesu ndiye Kristo, ilimaanisha kwamba aliamini Yesu kuwa Mwokozi ambaye angemwokoa kutoka katika dhambi zake zote.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158638/c1e-33q2dukp06khkq05q-347z8z5khx15-zzth4o.mp3" length="122764845"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Kwa nini Yesu alimwosha Petro miguu siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka ya Wayahudi? Alipokuwa akimwosha miguu yake, Yesu alisema, “Wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.” Simoni Petro alikuwa mwanafunzi bora zaidi wa Yesu. Aliamini kwamba Yesu alikuwa Mwana wa Mungu(God) na akashuhudia kwamba Yesu ndiye Kristo. Na Yesu alipokuwa akimwosha miguu yake, hakika kulikuwa na sababu ya Yeye kufanya hivyo. Petro alipokiri imani yake kwamba Yesu ndiye Kristo, ilimaanisha kwamba aliamini Yesu kuwa Mwokozi ambaye angemwokoa kutoka katika dhambi zake zote.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>02:07:52</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[9. Shuhuda za Wokovu]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:48:48 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158636</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/9-shuhuda-za-wokovu</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Shuhuda za Wokovu</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Shuhuda za Wokovu
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[9. Shuhuda za Wokovu]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>10</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Shuhuda za Wokovu</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158636/c1e-xm5poa968opcn7w97-v64n7ndks7q9-psx0ru.mp3" length="28178733"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Shuhuda za Wokovu
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:29:21</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[10. Maelezo ya Ziada]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:47:41 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158635</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/10-maelezo-ya-ziada</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>• Fidia</p>
<p>Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara nyingi kama uwakilishi chanya wa ukombozi (mf: Kutoka 21:30, ‘kiasi cha fedha’; Hesabu 35:31-32; Isaya 43:3, ‘fidia’). Katika Agano Jipya, Mathayo 20:28 na Marko 10:45 vinaeleza fidia kuwa ni “malipo ya fedha”.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[• Fidia
Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara nyingi kama uwakilishi chanya wa ukombozi (mf: Kutoka 21:30, ‘kiasi cha fedha’; Hesabu 35:31-32; Isaya 43:3, ‘fidia’). Katika Agano Jipya, Mathayo 20:28 na Marko 10:45 vinaeleza fidia kuwa ni “malipo ya fedha”.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[10. Maelezo ya Ziada]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>11</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>• Fidia</p>
<p>Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara nyingi kama uwakilishi chanya wa ukombozi (mf: Kutoka 21:30, ‘kiasi cha fedha’; Hesabu 35:31-32; Isaya 43:3, ‘fidia’). Katika Agano Jipya, Mathayo 20:28 na Marko 10:45 vinaeleza fidia kuwa ni “malipo ya fedha”.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158635/c1e-2op1nhmx060h67j17-qdojzj4xu966-rb4qnk.mp3" length="52667949"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[• Fidia
Bei inayolipwa kwa ajili ya ukombozi wa mtu aliyetekwa, mali iliyowekewa rehani au deni; kitendo cha kutatua tatizo kwa fedha. Hutumiwa mara nyingi kama uwakilishi chanya wa ukombozi (mf: Kutoka 21:30, ‘kiasi cha fedha’; Hesabu 35:31-32; Isaya 43:3, ‘fidia’). Katika Agano Jipya, Mathayo 20:28 na Marko 10:45 vinaeleza fidia kuwa ni “malipo ya fedha”.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:54:51</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[11. Maswali na Majibu]]>
                </title>
                <pubDate>Mon, 06 Oct 2025 00:42:57 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50727/episode/2158633</guid>
                                    <link>https://je-umezaliwa-upya-kweli-kwa-maji-na-kwa-roho.castos.com/episodes/11-maswali-na-majibu</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile unachofundisha kuhusu uhusiano wa ubatizo wetu na ubatizo, kifo, na ufufuo wa Yesu Kristo?</p>
<p>Jibu: Kwanza kabisa, tunapaswa kuzingatia “mabatizo” kama ilivyoandikwa katika Waebrania 6:2. Kulingana na Biblia, kuna mabatizo matatu tofauti: ubatizo wa Yohana Mbatizaji kwa ajili ya toba, ubatizo ambao Yesu alipokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na ubatizo wetu wa maji kama taratibu ya kiibada.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile unachofundisha kuhusu uhusiano wa ubatizo wetu na ubatizo, kifo, na ufufuo wa Yesu Kristo?
Jibu: Kwanza kabisa, tunapaswa kuzingatia “mabatizo” kama ilivyoandikwa katika Waebrania 6:2. Kulingana na Biblia, kuna mabatizo matatu tofauti: ubatizo wa Yohana Mbatizaji kwa ajili ya toba, ubatizo ambao Yesu alipokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na ubatizo wetu wa maji kama taratibu ya kiibada.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[11. Maswali na Majibu]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>12</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile unachofundisha kuhusu uhusiano wa ubatizo wetu na ubatizo, kifo, na ufufuo wa Yesu Kristo?</p>
<p>Jibu: Kwanza kabisa, tunapaswa kuzingatia “mabatizo” kama ilivyoandikwa katika Waebrania 6:2. Kulingana na Biblia, kuna mabatizo matatu tofauti: ubatizo wa Yohana Mbatizaji kwa ajili ya toba, ubatizo ambao Yesu alipokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na ubatizo wetu wa maji kama taratibu ya kiibada.</p>
<p> </p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/2158633/c1e-wn5vxc3qz64i0gmrg-ww8gkvk8tqkn-1pzcmv.mp3" length="72632109"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Swali 1: Nimekuwa nikisoma vitabu ambavyo ulinitumia kwa fadhili na nimeona baadhi ya dhana zako kuhusu ubatizo wa Yesu zinavutia. Je, unaweza kuniambia kile unachofundisha kuhusu uhusiano wa ubatizo wetu na ubatizo, kifo, na ufufuo wa Yesu Kristo?
Jibu: Kwanza kabisa, tunapaswa kuzingatia “mabatizo” kama ilivyoandikwa katika Waebrania 6:2. Kulingana na Biblia, kuna mabatizo matatu tofauti: ubatizo wa Yohana Mbatizaji kwa ajili ya toba, ubatizo ambao Yesu alipokea kutoka kwa Yohana Mbatizaji, na ubatizo wetu wa maji kama taratibu ya kiibada.
 
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:15:39</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
            </channel>
</rss>
