<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0" xmlns:podcast="https://podcastindex.org/namespace/1.0"
    xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
    xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
    xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
    xmlns:itunes="http://www.itunes.com/dtds/podcast-1.0.dtd" xmlns:spotify="http://www.spotify.com/ns/rss">
    <channel>
        <title>HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA: Taswira ya Wazi na ya Kina ya Yesu Kristo (II)</title>
        <generator>Castos</generator>
        <atom:link href="https://feeds.castos.com/omxz2" rel="self" type="application/rss+xml" />
        <link>https://www.bjnewlife.org/sw/book/bookDetail.php?bidx=1031&amp;part=1&amp;findLang=Swahili</link>
        <description>Je, tunawezaje kuupata ukweli uliofichika katika Hema Takatifu la Kukutania? Ni kwa kuifahamu injili ya Maji na Roho tu, ambayo ni kiini cha kweli cha Hema Takatifu la Kukutania, ndipo tunapoweza kufahamu kwa usahihi jibu la swali hili.
Kwa kweli, nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu, na kitani safi ya kusokotwa kama zilivyodhihirishwa katika lango la ua wa Hema Takatifu la Kukutania zinatuonyesha kazi za Yesu Kristo katika kipindi cha Agano Jipya ambazo zimemuokoa mwanadamu. Kwa njia hii, Neno la Agano la Kale la Hema Takatifu la Kukutania na Neno la Agano Jipya yanahusiana kwa karibu sana kama vile ilivyo kwa nyuzi za kitani safi ya kusokotwa. Lakini, kwa bahati mbaya ukweli huu umefichwa kwa muda mrefu kwa kila mtafuta ukweli katika Ukristo.
Alipokuja hapa duniani, Yesu Kristo alibatizwa na Yohana Mbatizaji na akamwaga damu yake katika Msalaba. Bila ya kuifahamu na kuiamini injili ya maji na Roho, hakuna kati yetu anayeweza kamwe kupata ukweli uliofunuliwa katika Hema Takatifu la Kukutania. Hivyo ni lazima tujifunze na kuuamini ukweli huu wa Hema Takatifu la Kukutania. Sisi sote tunahitaji kutambua na kuamini juu ya ukweli uliodhihirishwa katika nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu, na kitani safi ya kusokotwa za lango la ua wa Hema Takatifu la Kukutania.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35</description>
        <lastBuildDate>Sun, 15 Jan 2023 06:36:00 +0000</lastBuildDate>
        <language>sw</language>
        <copyright>Hakimiliki © 2008 na Kampuni ya Uchapaji ya Hephzibah</copyright>
        
        <spotify:limit recentCount="12" />
        
        <spotify:countryOfOrigin>
              
        </spotify:countryOfOrigin>
                    <image>
                <url>https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/images/Swahili-10.jpg</url>
                <title>HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA: Taswira ya Wazi na ya Kina ya Yesu Kristo (II)</title>
                <link>https://www.bjnewlife.org/sw/book/bookDetail.php?bidx=1031&amp;part=1&amp;findLang=Swahili</link>
            </image>
                <itunes:subtitle>Je, tunawezaje kuupata ukweli uliofichika katika Hema Takatifu la Kukutania? Ni kwa kuifahamu injili ya Maji na Roho tu, ambayo ni kiini cha kweli cha Hema Takatifu la Kukutania, ndipo tunapoweza kufahamu kwa usahihi jibu la swali hili.
Kwa kweli, nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu, na kitani safi ya kusokotwa kama zilivyodhihirishwa katika lango la ua wa Hema Takatifu la Kukutania zinatuonyesha kazi za Yesu Kristo katika kipindi cha Agano Jipya ambazo zimemuokoa mwanadamu. Kwa njia hii, Neno la Agano la Kale la Hema Takatifu la Kukutania na Neno la Agano Jipya yanahusiana kwa karibu sana kama vile ilivyo kwa nyuzi za kitani safi ya kusokotwa. Lakini, kwa bahati mbaya ukweli huu umefichwa kwa muda mrefu kwa kila mtafuta ukweli katika Ukristo.
Alipokuja hapa duniani, Yesu Kristo alibatizwa na Yohana Mbatizaji na akamwaga damu yake katika Msalaba. Bila ya kuifahamu na kuiamini injili ya maji na Roho, hakuna kati yetu anayeweza kamwe kupata ukweli uliofunuliwa katika Hema Takatifu la Kukutania. Hivyo ni lazima tujifunze na kuuamini ukweli huu wa Hema Takatifu la Kukutania. Sisi sote tunahitaji kutambua na kuamini juu ya ukweli uliodhihirishwa katika nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu, na kitani safi ya kusokotwa za lango la ua wa Hema Takatifu la Kukutania.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35</itunes:subtitle>
        <itunes:author>The New Life Mission</itunes:author>
        <itunes:type>episodic</itunes:type>
        <itunes:summary>Je, tunawezaje kuupata ukweli uliofichika katika Hema Takatifu la Kukutania? Ni kwa kuifahamu injili ya Maji na Roho tu, ambayo ni kiini cha kweli cha Hema Takatifu la Kukutania, ndipo tunapoweza kufahamu kwa usahihi jibu la swali hili.
Kwa kweli, nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu, na kitani safi ya kusokotwa kama zilivyodhihirishwa katika lango la ua wa Hema Takatifu la Kukutania zinatuonyesha kazi za Yesu Kristo katika kipindi cha Agano Jipya ambazo zimemuokoa mwanadamu. Kwa njia hii, Neno la Agano la Kale la Hema Takatifu la Kukutania na Neno la Agano Jipya yanahusiana kwa karibu sana kama vile ilivyo kwa nyuzi za kitani safi ya kusokotwa. Lakini, kwa bahati mbaya ukweli huu umefichwa kwa muda mrefu kwa kila mtafuta ukweli katika Ukristo.
Alipokuja hapa duniani, Yesu Kristo alibatizwa na Yohana Mbatizaji na akamwaga damu yake katika Msalaba. Bila ya kuifahamu na kuiamini injili ya maji na Roho, hakuna kati yetu anayeweza kamwe kupata ukweli uliofunuliwa katika Hema Takatifu la Kukutania. Hivyo ni lazima tujifunze na kuuamini ukweli huu wa Hema Takatifu la Kukutania. Sisi sote tunahitaji kutambua na kuamini juu ya ukweli uliodhihirishwa katika nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu, na kitani safi ya kusokotwa za lango la ua wa Hema Takatifu la Kukutania.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35</itunes:summary>
        <itunes:owner>
            <itunes:name>The New Life Mission</itunes:name>
            <itunes:email>shin2954@naver.com</itunes:email>
        </itunes:owner>
        <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                    <itunes:image href="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/images/Swahili-10.jpg"></itunes:image>
        
                                    <itunes:category text="Religion &amp; Spirituality">
                                            <itunes:category text="Christianity" />
                                    </itunes:category>
                    
                    <itunes:new-feed-url>https://feeds.castos.com/omxz2</itunes:new-feed-url>
                
        
        <podcast:locked>yes</podcast:locked>
                                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[1. Sisi Hatumo Miongoni Mwao Wanaosita na Kupotea kwa Sababu ya Dhambi Zetu (Yohana 13:1-11)]]>
                </title>
                <pubDate>Sun, 15 Jan 2023 06:36:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1377627</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/1-sisi-hatumo-miongoni-mwao-wanaosita-na-kupotea-kwa-sababu-ya-dhambi-zetu-yohana-131-11</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Neno lote la Biblia ni fumbo kwa walimu wa uongo ambao hawajazaliwa tena upya. Kwa hiyo wanajaribu kulifafanua Neno la Mungu kwa namna yao wenyewe kwa mawazo yaliyoundwa na mwanadamu. Hata hivyo, wao wenyewe hawashawishiki kuamini kile wanachokifundisha. Kama matokeo ya hali hiyo, hata miongoni mwa wale wanaoamini katika Yesu, kuna wachache sana wenye uhakika wa wokovu wao.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Neno lote la Biblia ni fumbo kwa walimu wa uongo ambao hawajazaliwa tena upya. Kwa hiyo wanajaribu kulifafanua Neno la Mungu kwa namna yao wenyewe kwa mawazo yaliyoundwa na mwanadamu. Hata hivyo, wao wenyewe hawashawishiki kuamini kile wanachokifundisha. Kama matokeo ya hali hiyo, hata miongoni mwa wale wanaoamini katika Yesu, kuna wachache sana wenye uhakika wa wokovu wao.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[1. Sisi Hatumo Miongoni Mwao Wanaosita na Kupotea kwa Sababu ya Dhambi Zetu (Yohana 13:1-11)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>1</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Neno lote la Biblia ni fumbo kwa walimu wa uongo ambao hawajazaliwa tena upya. Kwa hiyo wanajaribu kulifafanua Neno la Mungu kwa namna yao wenyewe kwa mawazo yaliyoundwa na mwanadamu. Hata hivyo, wao wenyewe hawashawishiki kuamini kile wanachokifundisha. Kama matokeo ya hali hiyo, hata miongoni mwa wale wanaoamini katika Yesu, kuna wachache sana wenye uhakika wa wokovu wao.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/431165fe-200f-4fc4-9d2d-681e91c710b2/Ch01-Sisi-Hatumo-Miongoni-Mwao-Wanaosita-na-Kupotea-kwa-Sababu-ya-Dhambi-Zetu.mp3" length="102747944"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Neno lote la Biblia ni fumbo kwa walimu wa uongo ambao hawajazaliwa tena upya. Kwa hiyo wanajaribu kulifafanua Neno la Mungu kwa namna yao wenyewe kwa mawazo yaliyoundwa na mwanadamu. Hata hivyo, wao wenyewe hawashawishiki kuamini kile wanachokifundisha. Kama matokeo ya hali hiyo, hata miongoni mwa wale wanaoamini katika Yesu, kuna wachache sana wenye uhakika wa wokovu wao.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:11:20</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[2. Kisitiri na Nguzo za Mahali Patakatifu (Kutoka 26:31-37)]]>
                </title>
                <pubDate>Sun, 15 Jan 2023 06:35:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1377625</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/2-kisitiri-na-nguzo-za-mahali-patakatifu-kutoka-2631-37</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Nitapenda kutafakari juu ya maana ya kiroho iliyomo katika nguzo za Mahali Patakatifu na rangi za kile kisitiri chake. Hema Takatifu ambalo tunalizama hapa lilikuwa na vipimo vya mita 13.5 (futi 45) kwa urefu na mita 4.5 (futi 15) kwa upana, na lilikuwa limegawanywa katika vyumba viwili vilivyoitwa Mahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu. Ndani ya Mahali Patakatifu kulikuwa na kinara cha taa, meza ya mikate ya wonyesho, na madhabahu ya uvumba, na ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kulikuwa na Sanduku la Ushuhuda na kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku lile.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Nitapenda kutafakari juu ya maana ya kiroho iliyomo katika nguzo za Mahali Patakatifu na rangi za kile kisitiri chake. Hema Takatifu ambalo tunalizama hapa lilikuwa na vipimo vya mita 13.5 (futi 45) kwa urefu na mita 4.5 (futi 15) kwa upana, na lilikuwa limegawanywa katika vyumba viwili vilivyoitwa Mahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu. Ndani ya Mahali Patakatifu kulikuwa na kinara cha taa, meza ya mikate ya wonyesho, na madhabahu ya uvumba, na ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kulikuwa na Sanduku la Ushuhuda na kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku lile.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[2. Kisitiri na Nguzo za Mahali Patakatifu (Kutoka 26:31-37)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>2</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Nitapenda kutafakari juu ya maana ya kiroho iliyomo katika nguzo za Mahali Patakatifu na rangi za kile kisitiri chake. Hema Takatifu ambalo tunalizama hapa lilikuwa na vipimo vya mita 13.5 (futi 45) kwa urefu na mita 4.5 (futi 15) kwa upana, na lilikuwa limegawanywa katika vyumba viwili vilivyoitwa Mahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu. Ndani ya Mahali Patakatifu kulikuwa na kinara cha taa, meza ya mikate ya wonyesho, na madhabahu ya uvumba, na ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kulikuwa na Sanduku la Ushuhuda na kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku lile.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/9dbb2506-ab93-4f97-9a28-c9dbba2f6abd/Ch02-Kisitiri-na-Nguzo-za-Mahali-Patakatifu.mp3" length="111816814"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Nitapenda kutafakari juu ya maana ya kiroho iliyomo katika nguzo za Mahali Patakatifu na rangi za kile kisitiri chake. Hema Takatifu ambalo tunalizama hapa lilikuwa na vipimo vya mita 13.5 (futi 45) kwa urefu na mita 4.5 (futi 15) kwa upana, na lilikuwa limegawanywa katika vyumba viwili vilivyoitwa Mahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu. Ndani ya Mahali Patakatifu kulikuwa na kinara cha taa, meza ya mikate ya wonyesho, na madhabahu ya uvumba, na ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kulikuwa na Sanduku la Ushuhuda na kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku lile.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:17:38</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[4. Pazia Ambalo Lilipasuliwa (Mathayo 27:50-53)]]>
                </title>
                <pubDate>Sun, 15 Jan 2023 06:34:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1377623</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/4-pazia-ambalo-lilipasuliwa-mathayo-2750-53</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Patakatifu pa Patakatifu palikuwa ni mahali ambapo Mungu aliishi. Na ni Kuhani Mkuu tu ndiye aliyeruhusiwa kuingia hapo mara moja kwa mwaka, katika ile Siku ya Upatanisho hali akiwa amebeba damu ya mbuzi wa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya ondoleo la dhambi la waisraeli. Kuhani Mkuu alifanya hivyo kwa sababu Patakatifu pa Patakatifu katika Hema Takatifu la Kukutania palikuwa ni mahali patakatifu sana ambao hakuweza kuingia mpaka awe na damu ya mwanasadaka, ambaye kwa huyo mikono iliwekwa juu ya kichwa chake ili kuyatoweshea mbali maovu ya wenye dhambi. Kwa msemo tofauti, hata Kuhani Mkuu hakuweza kuikwepa adhabu ya Mungu hadi baada ya kuwa amepokea ondoleo la dhambi zake kwa kutoa sadaka ya kuteketezwa kabla ya kuingia katika uwepo wa Mungu.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Patakatifu pa Patakatifu palikuwa ni mahali ambapo Mungu aliishi. Na ni Kuhani Mkuu tu ndiye aliyeruhusiwa kuingia hapo mara moja kwa mwaka, katika ile Siku ya Upatanisho hali akiwa amebeba damu ya mbuzi wa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya ondoleo la dhambi la waisraeli. Kuhani Mkuu alifanya hivyo kwa sababu Patakatifu pa Patakatifu katika Hema Takatifu la Kukutania palikuwa ni mahali patakatifu sana ambao hakuweza kuingia mpaka awe na damu ya mwanasadaka, ambaye kwa huyo mikono iliwekwa juu ya kichwa chake ili kuyatoweshea mbali maovu ya wenye dhambi. Kwa msemo tofauti, hata Kuhani Mkuu hakuweza kuikwepa adhabu ya Mungu hadi baada ya kuwa amepokea ondoleo la dhambi zake kwa kutoa sadaka ya kuteketezwa kabla ya kuingia katika uwepo wa Mungu.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[4. Pazia Ambalo Lilipasuliwa (Mathayo 27:50-53)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>4</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Patakatifu pa Patakatifu palikuwa ni mahali ambapo Mungu aliishi. Na ni Kuhani Mkuu tu ndiye aliyeruhusiwa kuingia hapo mara moja kwa mwaka, katika ile Siku ya Upatanisho hali akiwa amebeba damu ya mbuzi wa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya ondoleo la dhambi la waisraeli. Kuhani Mkuu alifanya hivyo kwa sababu Patakatifu pa Patakatifu katika Hema Takatifu la Kukutania palikuwa ni mahali patakatifu sana ambao hakuweza kuingia mpaka awe na damu ya mwanasadaka, ambaye kwa huyo mikono iliwekwa juu ya kichwa chake ili kuyatoweshea mbali maovu ya wenye dhambi. Kwa msemo tofauti, hata Kuhani Mkuu hakuweza kuikwepa adhabu ya Mungu hadi baada ya kuwa amepokea ondoleo la dhambi zake kwa kutoa sadaka ya kuteketezwa kabla ya kuingia katika uwepo wa Mungu.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/8d676e11-cb6b-4e51-9dcf-b2a74e24af64/Ch04-Pazia-Ambalo-Lilipasuliwa.mp3" length="86486350"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Patakatifu pa Patakatifu palikuwa ni mahali ambapo Mungu aliishi. Na ni Kuhani Mkuu tu ndiye aliyeruhusiwa kuingia hapo mara moja kwa mwaka, katika ile Siku ya Upatanisho hali akiwa amebeba damu ya mbuzi wa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya ondoleo la dhambi la waisraeli. Kuhani Mkuu alifanya hivyo kwa sababu Patakatifu pa Patakatifu katika Hema Takatifu la Kukutania palikuwa ni mahali patakatifu sana ambao hakuweza kuingia mpaka awe na damu ya mwanasadaka, ambaye kwa huyo mikono iliwekwa juu ya kichwa chake ili kuyatoweshea mbali maovu ya wenye dhambi. Kwa msemo tofauti, hata Kuhani Mkuu hakuweza kuikwepa adhabu ya Mungu hadi baada ya kuwa amepokea ondoleo la dhambi zake kwa kutoa sadaka ya kuteketezwa kabla ya kuingia katika uwepo wa Mungu.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:00:03</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[3. Wale Wanaoweza Kupaingia Patakatifu pa Patakatifu (Kutoka 26:31-33)]]>
                </title>
                <pubDate>Sun, 15 Jan 2023 06:34:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1377624</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/3-wale-wanaoweza-kupaingia-patakatifu-pa-patakatifu-kutoka-2631-33</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Hema Takatifu la Kukutania lilikuwa ni jengo dogo lililokunjwa na lililokuwa limefunikwa na aina nne za mapaa. Hema Takatifu la Kukutania lilikuwa limeundwa kutokana na vifaa mbalimbali—kwa mfano, kuta zake ziliundwa kwa mbao 48 za mti wa mshita. Kimo cha kila ubao kilikuwa ni mita 4.5 (dhiraa 10: futi 15), na upana ulikuwa sentimita 67.5 (dhiraa 1.5: futi 2.2). Mbao zote zilifunukwa kwa dhahabu.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Hema Takatifu la Kukutania lilikuwa ni jengo dogo lililokunjwa na lililokuwa limefunikwa na aina nne za mapaa. Hema Takatifu la Kukutania lilikuwa limeundwa kutokana na vifaa mbalimbali—kwa mfano, kuta zake ziliundwa kwa mbao 48 za mti wa mshita. Kimo cha kila ubao kilikuwa ni mita 4.5 (dhiraa 10: futi 15), na upana ulikuwa sentimita 67.5 (dhiraa 1.5: futi 2.2). Mbao zote zilifunukwa kwa dhahabu.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[3. Wale Wanaoweza Kupaingia Patakatifu pa Patakatifu (Kutoka 26:31-33)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>3</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Hema Takatifu la Kukutania lilikuwa ni jengo dogo lililokunjwa na lililokuwa limefunikwa na aina nne za mapaa. Hema Takatifu la Kukutania lilikuwa limeundwa kutokana na vifaa mbalimbali—kwa mfano, kuta zake ziliundwa kwa mbao 48 za mti wa mshita. Kimo cha kila ubao kilikuwa ni mita 4.5 (dhiraa 10: futi 15), na upana ulikuwa sentimita 67.5 (dhiraa 1.5: futi 2.2). Mbao zote zilifunukwa kwa dhahabu.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/c92792d4-ce91-4b00-9234-5320cf5ecaf3/Ch03-Wale-Wanaoweza-Kupaingia-Patakatifu-pa-Patakatifu.mp3" length="47793290"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Hema Takatifu la Kukutania lilikuwa ni jengo dogo lililokunjwa na lililokuwa limefunikwa na aina nne za mapaa. Hema Takatifu la Kukutania lilikuwa limeundwa kutokana na vifaa mbalimbali—kwa mfano, kuta zake ziliundwa kwa mbao 48 za mti wa mshita. Kimo cha kila ubao kilikuwa ni mita 4.5 (dhiraa 10: futi 15), na upana ulikuwa sentimita 67.5 (dhiraa 1.5: futi 2.2). Mbao zote zilifunukwa kwa dhahabu.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:33:10</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[5. Vitako Viwili vya Fedha na Ndimi Mbili kwa Kila Ubao wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 26:15-37)]]>
                </title>
                <pubDate>Sun, 15 Jan 2023 06:30:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1377622</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/5-vitako-viwili-vya-fedha-na-ndimi-mbili-kwa-kila-ubao-wa-hema-takatifu-la-kukutania-kutoka-2615-37</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Hema Takatifu la Kukutania liliundwa kwa mbao 48; kulikuwa na mbao 20 kwa kila upande wa kusini na kaskazini, mbao sita ziliwekwa upande wa magharibi, na mbao mbili ziliwekwa katika kona mbili za nyuma. Kila ubao ulikuwa na kipimo cha mita 4.5 (futi 15) kwa urefu na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2) kwa upana. Ili kila ubao uweze kusimama vizuri ukiwa umenyooka kulikuwa na vitako viwili vya fedha na ndimi mbili ambavyo vilifungamana pamoja vizuri. Hii inatuonyesha tena kuwa wokovu wa Mungu unapatikana kwa neema yake tu kwa imani katika Kristo.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Hema Takatifu la Kukutania liliundwa kwa mbao 48; kulikuwa na mbao 20 kwa kila upande wa kusini na kaskazini, mbao sita ziliwekwa upande wa magharibi, na mbao mbili ziliwekwa katika kona mbili za nyuma. Kila ubao ulikuwa na kipimo cha mita 4.5 (futi 15) kwa urefu na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2) kwa upana. Ili kila ubao uweze kusimama vizuri ukiwa umenyooka kulikuwa na vitako viwili vya fedha na ndimi mbili ambavyo vilifungamana pamoja vizuri. Hii inatuonyesha tena kuwa wokovu wa Mungu unapatikana kwa neema yake tu kwa imani katika Kristo.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[5. Vitako Viwili vya Fedha na Ndimi Mbili kwa Kila Ubao wa Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 26:15-37)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>5</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Hema Takatifu la Kukutania liliundwa kwa mbao 48; kulikuwa na mbao 20 kwa kila upande wa kusini na kaskazini, mbao sita ziliwekwa upande wa magharibi, na mbao mbili ziliwekwa katika kona mbili za nyuma. Kila ubao ulikuwa na kipimo cha mita 4.5 (futi 15) kwa urefu na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2) kwa upana. Ili kila ubao uweze kusimama vizuri ukiwa umenyooka kulikuwa na vitako viwili vya fedha na ndimi mbili ambavyo vilifungamana pamoja vizuri. Hii inatuonyesha tena kuwa wokovu wa Mungu unapatikana kwa neema yake tu kwa imani katika Kristo.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/828da940-52a1-4195-8830-7b89b3612e86/Ch05-Vitako-Viwili-vya-Fedha-na-Ndimi-Mbili-kwa-Kila-Ubao-wa-Hema-Takatifu-la-Kukutania.mp3" length="105258212"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Hema Takatifu la Kukutania liliundwa kwa mbao 48; kulikuwa na mbao 20 kwa kila upande wa kusini na kaskazini, mbao sita ziliwekwa upande wa magharibi, na mbao mbili ziliwekwa katika kona mbili za nyuma. Kila ubao ulikuwa na kipimo cha mita 4.5 (futi 15) kwa urefu na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2) kwa upana. Ili kila ubao uweze kusimama vizuri ukiwa umenyooka kulikuwa na vitako viwili vya fedha na ndimi mbili ambavyo vilifungamana pamoja vizuri. Hii inatuonyesha tena kuwa wokovu wa Mungu unapatikana kwa neema yake tu kwa imani katika Kristo.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:13:05</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[6. Mafumbo ya Kiroho Yaliyofichwa Katika Sanduku la Ushuhuda (Kutoka 25:10-22)]]>
                </title>
                <pubDate>Sun, 15 Jan 2023 06:29:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1377620</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/6-mafumbo-ya-kiroho-yaliyofichwa-katika-sanduku-la-ushuhuda-kutoka-2510-22</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Mada ya leo ni Sanduku la Ushuhuda. Sanduku la Ushuhuda lilikuwa na vipimo vya sentimita 113 (futi 3.7) kwa urefu, sentimita 68 (futi 2.2) kwa upana, na sentimita 68 (futi 2.2) kwa kimo chake, Sanduku hili lilitengenezwa kwa mti wa mshita na lilifunikwa kwa dhahabu safi. Ndani ya Sanduku kulikuwa na mbao mbili za mawe zilizokuwa zimeandikwa Amri Kumi na bilauri ya dhahabu iliyokuwa na manna, na baadaye iliwekwa ile fimbo ya Haruni iliyochipuka. Je, vitu hivi vitatu vilivyowekwa ndani ya Sanduku hili la Ushuhuda vinatueleza nini? Kwa kupitia vifaa hivyo, nitapenda kutoa ufafanuzi wa kina na wa upana kuhusiana na huduma tatu za Yesu Kristo. Hebu sasa na tuchunguze juu ya ukweli wa kiroho uliodhihirishwa katika vifaa hivi vitatu vilivyokuwa vimewekwa ndani ya Sanduku la Ushuhuda.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Mada ya leo ni Sanduku la Ushuhuda. Sanduku la Ushuhuda lilikuwa na vipimo vya sentimita 113 (futi 3.7) kwa urefu, sentimita 68 (futi 2.2) kwa upana, na sentimita 68 (futi 2.2) kwa kimo chake, Sanduku hili lilitengenezwa kwa mti wa mshita na lilifunikwa kwa dhahabu safi. Ndani ya Sanduku kulikuwa na mbao mbili za mawe zilizokuwa zimeandikwa Amri Kumi na bilauri ya dhahabu iliyokuwa na manna, na baadaye iliwekwa ile fimbo ya Haruni iliyochipuka. Je, vitu hivi vitatu vilivyowekwa ndani ya Sanduku hili la Ushuhuda vinatueleza nini? Kwa kupitia vifaa hivyo, nitapenda kutoa ufafanuzi wa kina na wa upana kuhusiana na huduma tatu za Yesu Kristo. Hebu sasa na tuchunguze juu ya ukweli wa kiroho uliodhihirishwa katika vifaa hivi vitatu vilivyokuwa vimewekwa ndani ya Sanduku la Ushuhuda.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[6. Mafumbo ya Kiroho Yaliyofichwa Katika Sanduku la Ushuhuda (Kutoka 25:10-22)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>6</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Mada ya leo ni Sanduku la Ushuhuda. Sanduku la Ushuhuda lilikuwa na vipimo vya sentimita 113 (futi 3.7) kwa urefu, sentimita 68 (futi 2.2) kwa upana, na sentimita 68 (futi 2.2) kwa kimo chake, Sanduku hili lilitengenezwa kwa mti wa mshita na lilifunikwa kwa dhahabu safi. Ndani ya Sanduku kulikuwa na mbao mbili za mawe zilizokuwa zimeandikwa Amri Kumi na bilauri ya dhahabu iliyokuwa na manna, na baadaye iliwekwa ile fimbo ya Haruni iliyochipuka. Je, vitu hivi vitatu vilivyowekwa ndani ya Sanduku hili la Ushuhuda vinatueleza nini? Kwa kupitia vifaa hivyo, nitapenda kutoa ufafanuzi wa kina na wa upana kuhusiana na huduma tatu za Yesu Kristo. Hebu sasa na tuchunguze juu ya ukweli wa kiroho uliodhihirishwa katika vifaa hivi vitatu vilivyokuwa vimewekwa ndani ya Sanduku la Ushuhuda.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/43380031-cd7c-41b9-8fdf-4de0125b364a/Ch06-Mafumbo-ya-Kiroho-Yaliyofichwa-Katika-Sanduku-la-Ushuhuda.mp3" length="66644028"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Mada ya leo ni Sanduku la Ushuhuda. Sanduku la Ushuhuda lilikuwa na vipimo vya sentimita 113 (futi 3.7) kwa urefu, sentimita 68 (futi 2.2) kwa upana, na sentimita 68 (futi 2.2) kwa kimo chake, Sanduku hili lilitengenezwa kwa mti wa mshita na lilifunikwa kwa dhahabu safi. Ndani ya Sanduku kulikuwa na mbao mbili za mawe zilizokuwa zimeandikwa Amri Kumi na bilauri ya dhahabu iliyokuwa na manna, na baadaye iliwekwa ile fimbo ya Haruni iliyochipuka. Je, vitu hivi vitatu vilivyowekwa ndani ya Sanduku hili la Ushuhuda vinatueleza nini? Kwa kupitia vifaa hivyo, nitapenda kutoa ufafanuzi wa kina na wa upana kuhusiana na huduma tatu za Yesu Kristo. Hebu sasa na tuchunguze juu ya ukweli wa kiroho uliodhihirishwa katika vifaa hivi vitatu vilivyokuwa vimewekwa ndani ya Sanduku la Ushuhuda.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:46:16</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[7. Sadaka ya Ondoleo la Dhambi Inayotolewa Katika Kiti cha Rehema (Kutoka 25:10-22)]]>
                </title>
                <pubDate>Sun, 15 Jan 2023 06:28:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1377619</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/7-sadaka-ya-ondoleo-la-dhambi-inayotolewa-katika-kiti-cha-rehema-kutoka-2510-22</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Dhiraa ni urefu unaoanzia katika ncha ya kidole cha mkononi hadi kwenye kiwiko. Katika Biblia, dhiraa inakadiriwa kuwa na kipimo cha sentimita 45 kwa vipimo vya kisasa. Urefu wa kiti cha rehema ulikuwa ni dhiraa mbili na nusu, na kwa hiyo kipimo hicho kinapo badilishwa katika vipimo vya kisasa, urefu huu unakuwa sawa na sentimita 113 (futi 3.7). Na upana wake ulikuwa ni dhiraa moja na nusu ambao ni sawa na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2). Vipimo hivi vinatupatia sisi ule ufahamu wa kawaida juu ya kipimo cha kiti cha rehema.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Dhiraa ni urefu unaoanzia katika ncha ya kidole cha mkononi hadi kwenye kiwiko. Katika Biblia, dhiraa inakadiriwa kuwa na kipimo cha sentimita 45 kwa vipimo vya kisasa. Urefu wa kiti cha rehema ulikuwa ni dhiraa mbili na nusu, na kwa hiyo kipimo hicho kinapo badilishwa katika vipimo vya kisasa, urefu huu unakuwa sawa na sentimita 113 (futi 3.7). Na upana wake ulikuwa ni dhiraa moja na nusu ambao ni sawa na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2). Vipimo hivi vinatupatia sisi ule ufahamu wa kawaida juu ya kipimo cha kiti cha rehema.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[7. Sadaka ya Ondoleo la Dhambi Inayotolewa Katika Kiti cha Rehema (Kutoka 25:10-22)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>7</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Dhiraa ni urefu unaoanzia katika ncha ya kidole cha mkononi hadi kwenye kiwiko. Katika Biblia, dhiraa inakadiriwa kuwa na kipimo cha sentimita 45 kwa vipimo vya kisasa. Urefu wa kiti cha rehema ulikuwa ni dhiraa mbili na nusu, na kwa hiyo kipimo hicho kinapo badilishwa katika vipimo vya kisasa, urefu huu unakuwa sawa na sentimita 113 (futi 3.7). Na upana wake ulikuwa ni dhiraa moja na nusu ambao ni sawa na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2). Vipimo hivi vinatupatia sisi ule ufahamu wa kawaida juu ya kipimo cha kiti cha rehema.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/7dad1fec-3a7d-4b0f-8f14-ca1130dc586c/Ch07-Sadaka-ya-Ondoleo-la-Dhambi-Inayotolewa-Katika-Kiti-cha-Rehema.mp3" length="60080418"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Dhiraa ni urefu unaoanzia katika ncha ya kidole cha mkononi hadi kwenye kiwiko. Katika Biblia, dhiraa inakadiriwa kuwa na kipimo cha sentimita 45 kwa vipimo vya kisasa. Urefu wa kiti cha rehema ulikuwa ni dhiraa mbili na nusu, na kwa hiyo kipimo hicho kinapo badilishwa katika vipimo vya kisasa, urefu huu unakuwa sawa na sentimita 113 (futi 3.7). Na upana wake ulikuwa ni dhiraa moja na nusu ambao ni sawa na takribani sentimita 67.5 (futi 2.2). Vipimo hivi vinatupatia sisi ule ufahamu wa kawaida juu ya kipimo cha kiti cha rehema.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:41:42</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[8. Meza ya Mikate ya Wonyesho (Kutoka 37:10-16)]]>
                </title>
                <pubDate>Sun, 15 Jan 2023 06:25:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1377618</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/8-meza-ya-mikate-ya-wonyesho-kutoka-3710-16</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Meza ya mikate ya wonyesho ambayo ni moja ya vifaa vinavyopatikana ndani ya Hema Takatifu la Kukutania iliundwa kwa mti wa mshita na kisha ikafunikwa kwa dhahabu safi. Ilikuwa na vipimo vya dhiraa mbili (sentimita 90: futi 3) kwa urefu, dhiraa moja na nusu (sentimita 67.5: futi 2.2) kwa kimo, na dhiraa moja (sentimita 45: futi 1.5) kwa upana. Juu ya meza ya mikate ya wonyesho kulikuwa na mikate 12 ambayo iliwekwa pale wakati wote, na mikate hii iliweza kuliwa na makuhani tu (Mambo ya Walawi 24:5-9).</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Meza ya mikate ya wonyesho ambayo ni moja ya vifaa vinavyopatikana ndani ya Hema Takatifu la Kukutania iliundwa kwa mti wa mshita na kisha ikafunikwa kwa dhahabu safi. Ilikuwa na vipimo vya dhiraa mbili (sentimita 90: futi 3) kwa urefu, dhiraa moja na nusu (sentimita 67.5: futi 2.2) kwa kimo, na dhiraa moja (sentimita 45: futi 1.5) kwa upana. Juu ya meza ya mikate ya wonyesho kulikuwa na mikate 12 ambayo iliwekwa pale wakati wote, na mikate hii iliweza kuliwa na makuhani tu (Mambo ya Walawi 24:5-9).
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[8. Meza ya Mikate ya Wonyesho (Kutoka 37:10-16)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>8</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Meza ya mikate ya wonyesho ambayo ni moja ya vifaa vinavyopatikana ndani ya Hema Takatifu la Kukutania iliundwa kwa mti wa mshita na kisha ikafunikwa kwa dhahabu safi. Ilikuwa na vipimo vya dhiraa mbili (sentimita 90: futi 3) kwa urefu, dhiraa moja na nusu (sentimita 67.5: futi 2.2) kwa kimo, na dhiraa moja (sentimita 45: futi 1.5) kwa upana. Juu ya meza ya mikate ya wonyesho kulikuwa na mikate 12 ambayo iliwekwa pale wakati wote, na mikate hii iliweza kuliwa na makuhani tu (Mambo ya Walawi 24:5-9).</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>
<p> </p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/38390599-563d-42c4-98ce-5225d48a6073/Ch08-Meza-ya-Mikate-ya-Wonyesho.mp3" length="67632483"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Meza ya mikate ya wonyesho ambayo ni moja ya vifaa vinavyopatikana ndani ya Hema Takatifu la Kukutania iliundwa kwa mti wa mshita na kisha ikafunikwa kwa dhahabu safi. Ilikuwa na vipimo vya dhiraa mbili (sentimita 90: futi 3) kwa urefu, dhiraa moja na nusu (sentimita 67.5: futi 2.2) kwa kimo, na dhiraa moja (sentimita 45: futi 1.5) kwa upana. Juu ya meza ya mikate ya wonyesho kulikuwa na mikate 12 ambayo iliwekwa pale wakati wote, na mikate hii iliweza kuliwa na makuhani tu (Mambo ya Walawi 24:5-9).
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35
 ]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:46:57</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[9. Kinara cha Taa cha Dhahabu (Kutoka 25:31-40)]]>
                </title>
                <pubDate>Sat, 14 Jan 2023 14:37:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1376803</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/9-kinara-cha-taa-cha-dhahabu-kutoka-2531-40</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Kinara cha taa cha dhahabu kilifanywa kwa talanta moja ya dhahabu safi. Kitako chake kilipondwa toka katika talanta moja ya dhahabu safi pamoja na matawi yake matatu yakitokeza toka katika pande zake mbili, na taa saba ziliwekwa juu ya kile kitako na katika matawi yake sita. Kwa kuwa kinara cha taa kiliundwa kutokana na talanta moja ya dhahabu safi, kwa kweli kilikuwa ni kitu kizuri sana cha kukitazama na kukishika.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Kinara cha taa cha dhahabu kilifanywa kwa talanta moja ya dhahabu safi. Kitako chake kilipondwa toka katika talanta moja ya dhahabu safi pamoja na matawi yake matatu yakitokeza toka katika pande zake mbili, na taa saba ziliwekwa juu ya kile kitako na katika matawi yake sita. Kwa kuwa kinara cha taa kiliundwa kutokana na talanta moja ya dhahabu safi, kwa kweli kilikuwa ni kitu kizuri sana cha kukitazama na kukishika.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[9. Kinara cha Taa cha Dhahabu (Kutoka 25:31-40)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>9</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Kinara cha taa cha dhahabu kilifanywa kwa talanta moja ya dhahabu safi. Kitako chake kilipondwa toka katika talanta moja ya dhahabu safi pamoja na matawi yake matatu yakitokeza toka katika pande zake mbili, na taa saba ziliwekwa juu ya kile kitako na katika matawi yake sita. Kwa kuwa kinara cha taa kiliundwa kutokana na talanta moja ya dhahabu safi, kwa kweli kilikuwa ni kitu kizuri sana cha kukitazama na kukishika.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/75a2e610-e706-47f5-bcca-de21711cc9a9/Ch09-Kinara-cha-Taa-cha-Dhahabu.mp3" length="41387433"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Kinara cha taa cha dhahabu kilifanywa kwa talanta moja ya dhahabu safi. Kitako chake kilipondwa toka katika talanta moja ya dhahabu safi pamoja na matawi yake matatu yakitokeza toka katika pande zake mbili, na taa saba ziliwekwa juu ya kile kitako na katika matawi yake sita. Kwa kuwa kinara cha taa kiliundwa kutokana na talanta moja ya dhahabu safi, kwa kweli kilikuwa ni kitu kizuri sana cha kukitazama na kukishika.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:28:43</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[10. Madhabahu ya Uvumba (Kutoka 30:1-10)]]>
                </title>
                <pubDate>Sat, 14 Jan 2023 14:35:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1376799</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/10-madhabahu-ya-uvumba-kutoka-301-10</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Madhabahu ya uvumba ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa na umbo la mraba ikiwa na vipimo vya dhiraa (sentimita 45: futi 1.5) kwa urefu na upana wake na ilikuwa na kimo cha dhiraa 2. Hali ikiwa imewekwa ndani ya Mahali Patakatifu, madhabahu hii ilifunikwa kwa dhahabu sehemu zote hali ikiwa na ukingo wa dhahabu kuizunguka. Pete nne za dhahabu ziliwekwa chini ya ukingo huo ili kuweza kuishikilia ile miti ya kubebea sanduku hilo. Katika madhabahu hii ya uvumba, hakuna kitu kingine chochote kilichoruhusiwa zaidi ya mafuta ya upako na uvumba wa manukato (Kutoka 30:22-25).</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Madhabahu ya uvumba ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa na umbo la mraba ikiwa na vipimo vya dhiraa (sentimita 45: futi 1.5) kwa urefu na upana wake na ilikuwa na kimo cha dhiraa 2. Hali ikiwa imewekwa ndani ya Mahali Patakatifu, madhabahu hii ilifunikwa kwa dhahabu sehemu zote hali ikiwa na ukingo wa dhahabu kuizunguka. Pete nne za dhahabu ziliwekwa chini ya ukingo huo ili kuweza kuishikilia ile miti ya kubebea sanduku hilo. Katika madhabahu hii ya uvumba, hakuna kitu kingine chochote kilichoruhusiwa zaidi ya mafuta ya upako na uvumba wa manukato (Kutoka 30:22-25).
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[10. Madhabahu ya Uvumba (Kutoka 30:1-10)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>10</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Madhabahu ya uvumba ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa na umbo la mraba ikiwa na vipimo vya dhiraa (sentimita 45: futi 1.5) kwa urefu na upana wake na ilikuwa na kimo cha dhiraa 2. Hali ikiwa imewekwa ndani ya Mahali Patakatifu, madhabahu hii ilifunikwa kwa dhahabu sehemu zote hali ikiwa na ukingo wa dhahabu kuizunguka. Pete nne za dhahabu ziliwekwa chini ya ukingo huo ili kuweza kuishikilia ile miti ya kubebea sanduku hilo. Katika madhabahu hii ya uvumba, hakuna kitu kingine chochote kilichoruhusiwa zaidi ya mafuta ya upako na uvumba wa manukato (Kutoka 30:22-25).</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/91556f80-e801-4435-8dc8-3b12c6d6c767/Ch10-Madhabahu-ya-Uvumba.mp3" length="67571135"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Madhabahu ya uvumba ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa na umbo la mraba ikiwa na vipimo vya dhiraa (sentimita 45: futi 1.5) kwa urefu na upana wake na ilikuwa na kimo cha dhiraa 2. Hali ikiwa imewekwa ndani ya Mahali Patakatifu, madhabahu hii ilifunikwa kwa dhahabu sehemu zote hali ikiwa na ukingo wa dhahabu kuizunguka. Pete nne za dhahabu ziliwekwa chini ya ukingo huo ili kuweza kuishikilia ile miti ya kubebea sanduku hilo. Katika madhabahu hii ya uvumba, hakuna kitu kingine chochote kilichoruhusiwa zaidi ya mafuta ya upako na uvumba wa manukato (Kutoka 30:22-25).
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>00:46:54</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[11. Kuhani Mkuu Aliyetoa Sadaka ya Siku ya Upatanisho (Mambo ya Walawi 16:1-34)]]>
                </title>
                <pubDate>Sat, 14 Jan 2023 14:33:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1376798</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/11-kuhani-mkuu-aliyetoa-sadaka-ya-siku-ya-upatanisho-mambo-ya-walawi-161-34</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Kuhani Mkuu alikuwa ndiye aliyetoa sadaka ya Siku ya Upatanisho kwa ajili ya watu wa Israeli. Sadaka hii ilitolewa mara moja kwa mwaka katika siku ya kumi ya mwezi ya saba katika kalenda ya waisraeli. Katika siku hii, wakati Kuhani Mkuu Haruni alipokuwa akitoa sadaka kwa niaba ya watu wa Israeli kwa ajili yao, maovu yao yote yalipitishwa katika mwanasadaka huyu wa kuteketezwa na damu ya mwanasadaka huyu ilizisafishia mbali dhambi zao. Kwa hiyo Siku ya Upatanisho ilifanyika kuwa ni siku kuu kwa watu wa Israeli.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Kuhani Mkuu alikuwa ndiye aliyetoa sadaka ya Siku ya Upatanisho kwa ajili ya watu wa Israeli. Sadaka hii ilitolewa mara moja kwa mwaka katika siku ya kumi ya mwezi ya saba katika kalenda ya waisraeli. Katika siku hii, wakati Kuhani Mkuu Haruni alipokuwa akitoa sadaka kwa niaba ya watu wa Israeli kwa ajili yao, maovu yao yote yalipitishwa katika mwanasadaka huyu wa kuteketezwa na damu ya mwanasadaka huyu ilizisafishia mbali dhambi zao. Kwa hiyo Siku ya Upatanisho ilifanyika kuwa ni siku kuu kwa watu wa Israeli.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[11. Kuhani Mkuu Aliyetoa Sadaka ya Siku ya Upatanisho (Mambo ya Walawi 16:1-34)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>11</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Kuhani Mkuu alikuwa ndiye aliyetoa sadaka ya Siku ya Upatanisho kwa ajili ya watu wa Israeli. Sadaka hii ilitolewa mara moja kwa mwaka katika siku ya kumi ya mwezi ya saba katika kalenda ya waisraeli. Katika siku hii, wakati Kuhani Mkuu Haruni alipokuwa akitoa sadaka kwa niaba ya watu wa Israeli kwa ajili yao, maovu yao yote yalipitishwa katika mwanasadaka huyu wa kuteketezwa na damu ya mwanasadaka huyu ilizisafishia mbali dhambi zao. Kwa hiyo Siku ya Upatanisho ilifanyika kuwa ni siku kuu kwa watu wa Israeli.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/17a98655-f344-4372-933f-4e02b5bfd3c0/Ch11-Kuhani-Mkuu-Aliyetoa-Sadaka-ya-Siku-ya-Upatanisho.mp3" length="126389469"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Kuhani Mkuu alikuwa ndiye aliyetoa sadaka ya Siku ya Upatanisho kwa ajili ya watu wa Israeli. Sadaka hii ilitolewa mara moja kwa mwaka katika siku ya kumi ya mwezi ya saba katika kalenda ya waisraeli. Katika siku hii, wakati Kuhani Mkuu Haruni alipokuwa akitoa sadaka kwa niaba ya watu wa Israeli kwa ajili yao, maovu yao yote yalipitishwa katika mwanasadaka huyu wa kuteketezwa na damu ya mwanasadaka huyu ilizisafishia mbali dhambi zao. Kwa hiyo Siku ya Upatanisho ilifanyika kuwa ni siku kuu kwa watu wa Israeli.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:27:45</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
                    <item>
                <title>
                    <![CDATA[12. Mafumbo Manne Yaliyofichika Katika Mapaa ya Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 26:1-14)]]>
                </title>
                <pubDate>Sat, 14 Jan 2023 14:31:00 +0000</pubDate>
                <dc:creator>The New Life Mission</dc:creator>
                <guid isPermaLink="true">
                    https://permalink.castos.com/podcast/50797/episode/1376797</guid>
                                    <link>https://hema-takatifu-la-kukutania-taswira-ya-wazi-na-ya-kinj91.castos.com/episodes/12-mafumbo-manne-yaliyofichika-katika-mapaa-ya-hema-takatifu-la-kukutania-kutoka-261-14</link>
                                <description>
                                            <![CDATA[<p>Sasa tunageukia katika mapazia ya Hema Takatifu la Kukutania. Mapaa ya Hema Takatifu la Kukutania yaliundwa katika sehemu nne. Wakati Mungu alipomwambia Musa kulijenga Hema Takatifu la Kukutania alimpatia maelekezo ya kina na ya wazi. Kipekee, paa la kwanza liliweza kuonekana toka tu ndani ya Hema Takatifu la Kukutania, ambalo ni paa juu ya mbao za Hema Takatifu la Kukutania na vyombo vyake vyote vya ndani. Paa hili lilikuwa limezifunika mbao za Hema Takatifu la Kukutania, Mahali Patakatifu, na Patakatifu pa Patakatifu na kutelemka hadi chini ya ardhi. Na lilikuwa limetengenezwa kwa nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu na kitani safi ya kusokotwa, na pia picha nzuri ya za makerubi zilikuwa zimefumwa juu yake.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                                    </description>
                <itunes:subtitle>
                    <![CDATA[Sasa tunageukia katika mapazia ya Hema Takatifu la Kukutania. Mapaa ya Hema Takatifu la Kukutania yaliundwa katika sehemu nne. Wakati Mungu alipomwambia Musa kulijenga Hema Takatifu la Kukutania alimpatia maelekezo ya kina na ya wazi. Kipekee, paa la kwanza liliweza kuonekana toka tu ndani ya Hema Takatifu la Kukutania, ambalo ni paa juu ya mbao za Hema Takatifu la Kukutania na vyombo vyake vyote vya ndani. Paa hili lilikuwa limezifunika mbao za Hema Takatifu la Kukutania, Mahali Patakatifu, na Patakatifu pa Patakatifu na kutelemka hadi chini ya ardhi. Na lilikuwa limetengenezwa kwa nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu na kitani safi ya kusokotwa, na pia picha nzuri ya za makerubi zilikuwa zimefumwa juu yake.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:subtitle>
                                    <itunes:episodeType>full</itunes:episodeType>
                                <itunes:title>
                    <![CDATA[12. Mafumbo Manne Yaliyofichika Katika Mapaa ya Hema Takatifu la Kukutania (Kutoka 26:1-14)]]>
                </itunes:title>
                                    <itunes:episode>12</itunes:episode>
                                                <itunes:explicit>false</itunes:explicit>
                <content:encoded>
                    <![CDATA[<p>Sasa tunageukia katika mapazia ya Hema Takatifu la Kukutania. Mapaa ya Hema Takatifu la Kukutania yaliundwa katika sehemu nne. Wakati Mungu alipomwambia Musa kulijenga Hema Takatifu la Kukutania alimpatia maelekezo ya kina na ya wazi. Kipekee, paa la kwanza liliweza kuonekana toka tu ndani ya Hema Takatifu la Kukutania, ambalo ni paa juu ya mbao za Hema Takatifu la Kukutania na vyombo vyake vyote vya ndani. Paa hili lilikuwa limezifunika mbao za Hema Takatifu la Kukutania, Mahali Patakatifu, na Patakatifu pa Patakatifu na kutelemka hadi chini ya ardhi. Na lilikuwa limetengenezwa kwa nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu na kitani safi ya kusokotwa, na pia picha nzuri ya za makerubi zilikuwa zimefumwa juu yake.</p>
<p><a href="https://www.bjnewlife.org/" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.bjnewlife.org/</a><br /><a href="https://youtube.com/@TheNewLifeMission" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://youtube.com/@TheNewLifeMission</a><br /><a href="https://www.facebook.com/shin.john.35" target="_blank" rel="noreferrer noopener">https://www.facebook.com/shin.john.35</a></p>]]>
                </content:encoded>
                                    <enclosure url="https://episodes.castos.com/63523b79413e35-56452255/50797/859cf7f8-15f5-4ef6-9589-9dc9cdd08aab/Ch12-Mafumbo-Manne-Yaliyofichika-Katika-Mapaa-ya-Hema-Takatifu-la-Kukutania.mp3" length="122334241"
                        type="audio/mpeg">
                    </enclosure>
                                <itunes:summary>
                    <![CDATA[Sasa tunageukia katika mapazia ya Hema Takatifu la Kukutania. Mapaa ya Hema Takatifu la Kukutania yaliundwa katika sehemu nne. Wakati Mungu alipomwambia Musa kulijenga Hema Takatifu la Kukutania alimpatia maelekezo ya kina na ya wazi. Kipekee, paa la kwanza liliweza kuonekana toka tu ndani ya Hema Takatifu la Kukutania, ambalo ni paa juu ya mbao za Hema Takatifu la Kukutania na vyombo vyake vyote vya ndani. Paa hili lilikuwa limezifunika mbao za Hema Takatifu la Kukutania, Mahali Patakatifu, na Patakatifu pa Patakatifu na kutelemka hadi chini ya ardhi. Na lilikuwa limetengenezwa kwa nyuzi za bluu, zambarau, na nyekundu na kitani safi ya kusokotwa, na pia picha nzuri ya za makerubi zilikuwa zimefumwa juu yake.
https://www.bjnewlife.org/https://youtube.com/@TheNewLifeMissionhttps://www.facebook.com/shin.john.35]]>
                </itunes:summary>
                                                                            <itunes:duration>01:24:56</itunes:duration>
                                                    <itunes:author>
                    <![CDATA[The New Life Mission]]>
                </itunes:author>
                            </item>
            </channel>
</rss>
